nicolas maduro

IQNA

IQNA – Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon imesisitiza katika taarifa yake kwamba watu wa Venezuela, kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, watazima njama ya Marekani. Wameongeza kuwa mataifa huru na yenye mamlaka yao yanapaswa kusimama pamoja kukabiliana na dhulma na jinai za Marekani na kuunda ushirikiano wa kimkakati.
Habari ID: 3481767    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/05

IQNA – Harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah, imelaani uvamizi wa Marekani dhidi ya Venezuela na mashambulizi ya miundombinu muhimu, maeneo ya kiraia na makazi katika taifa hilo la Amerika ya Kusini.
Habari ID: 3481763    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/04

Kiongozi Muadhamu katika mkutano na Rais Maduro wa Venezuela
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema uzoefu wenye mafanikio wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Venezuela katika kupambana na vikwazo vya Marekani umedhihirisha wazi kuwa, mapambano au muqawama ndio njia pekee ya kuzima mashinikizo ya namna hiyo.
Habari ID: 3475366    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/12